Baraza la
mitihani Tanzania Necta
limetangaza matokeo ya kidato cha nne
yaliyopangwa kwa mfumo wa division. ufaulu umeshuka kwa 1.85% MWAKA 2014 ufaulu
ulikwa kwa mfumo wa GPA na ufaulu ulikuwa 69.76% na sasa ufaulu wa mwaka 2015
ni daraja (Divisioni) 67.91%
Waliofaulu daraja la kwanza ni asilimia 2.77, la pili ni
asilimia 9.01 na tatu ni 13.56 huku daraja la nne wakiwa 42.57
Nafasi
tatu za
kwanza kwa wanafunzi
waliofanya vizuri zimechukuliwa
na wasichana.
Shule zilizofanya
vizuri kitaifa ni Kazirege
ya Mkoani –Kagera, Alliance Girls-Mwanza, St Francis Girls-Mbeya, Alliance, Boys-Mwanza,
Canossa-DSM, Marian Boys-Pwani, Alliance Army Rock-Mwanza, Feza Girls-DSM, Feza
Boys-DSmM na Uru Seminary-Kilimanjaro
Baraza limesema
waliofaulu ni robo
ya watahiniwa wote
huku watahiniwa 87 walifanya udanganyifu
wamefutiwa matokeo yao.
No comments :
Post a Comment